Thursday, July 24, 2014

article-2703725-1FED6D4600000578-662_634x476Raha tupu: Mshambuliaji wa Manchester United Wayne Rooney  akimpongeza Danny Welbeck baada ya kufunga bao la kwanza.
LOUIS Van Gaal ni kiboko. Awaonya Jose Mourinho na Asernal Wenger kuwa amekuja kufanya kazi Old Trafford.
Jana usiku ameshusha majanga kwa LA Galaxy baada ya kuitandika mabao 7-0 katika mchezo wa kirafiki wa maandalizi ya kabla ya Msimu nchini Marekani.
Hii imezidi sasa! Van Gaal atakuwa anawaomba viongozi wa Manchester United kuipeleka timu kwenye ziara ya maandalizi ya kabla ya msimu kila majira ya kiangazi.
Ikiwa ni siku moja tu imepita tangu alalamike kuhusu ziara ya Marekani kwa madai kuwa inawafanya wachezaji wake wachoke, kocha huyo mpya wa Man United aliitazama timu yake ikipata ushindi mkubwa na kuonesha kiwango kizuri. 
article-2703725-1FED699100000578-453_634x388 
Mwanzo mzuri: Welbeck akishangilia baada ya kuifungia Man United goli la kuongoza katika dakika ya

0 maoni:

Post a Comment

waliotembelea blog