Friday, August 8, 2014



Beaming: Wilson holds the Senior Cup after his brilliant display
Grabbing the cup: The United teenager was the best player on the pitch at Ewen Fields
Bingwa: James Wilson akiwa amebeba kombe la 'Manchester Senior Cup' baada ya kuingoza United kushinda mabao 4-1 dhidi ya Cit.



KINDA wa Manchester United,James Wilson amemkumbusha Louis van Gaal umuhimu wake kwa kufunga mabao yote manne katika ushindi wa 4-1 dhidi ya mahasimu wao wakubwa Manchester City.
Timu hizo mbili hasimu zilikutana jana usiku katika mchezo wa fainali wa kombe la 'Manchester Senior Cup'.
Wilson  alifunga mabao mawili katika mechi yake ya kwanza ya ligi kuu dhidi ya Hull City msimu uliopita chini ya kocha wa muda Ryan Giggs, lakini hakuchukuliwa na Van Gaal katika ziara ya hivi karibuni ya maandalizi ya msimu nchini Marekani.
Lakini katika mechi ya jana iliyotazamwa na Manuel Pellegrini, Wilson alionesha kiwango kikubwa na kubeba kombe hilo la 'Senior Cup' baada ya kufunga mabao mawili katika kila kipinidi na kuifanya United ishinde ikitokea nyuma.
Four-midable talent: James Wilson was the hero for United, scoring four times after City went ahead
Vipaji vya hali ya juu: James Wilson alikuwa shujaa wa  United, akifunga mara nne baada ya Man City kutangulia kupata bao la kuongoza.
Fiery encounter: Typically considering the two teams playing, there were some enthusiastic challenges
Katika mechi hiyo vijana walipeana changamoto kubwa na kuonesha jinsi gani wamebarikiwa kucheza soka.
Bright start: Jordi Hiwula, centre right, leaps on Devante Cole, right, after the latter set him up to score for City
Mwanzo mzuri: Jordi Hiwula, katikati kulia, akimpanda Devante Cole, kulia, baada ya kuifungia Man City bao la kuongoza
Shielding the ball: Andreas Pereira of United tries to steal the ball from City midfielder Pablo Maffeo

Kikosi cha Manchester City: Gunn, Bossaerts, Maffeo, Bryan (Smith-Brown 46), Angelino, Glendon, Ntcham (Horsfield 53), Fofana, Cole, Pozo (Ambrose 68), Hiwula
Wachezaji: O'Brien, Bytyqi.
Mfungaji wa goli: Hiwula.
Kikosi cha Manchester United: J Pereira; Vermijl, McNair, Thorpe, Varela; Janko, Pearson, Rothwell, Lawrence; A Pereira; Wilson
Wachezaji wa akiba: O'Hara, Harrop, Goss, Willock, Evans
Mfunagi wa magoli: Wilson (4).
Watazamaji: 3,261.

0 maoni:

Post a Comment

waliotembelea blog