Friday, August 8, 2014


Wary: Arsenal boss Arsene Wenger admits there are dangerous teams in Friday's Champions League draw
Wasiwasi: Bosi wa Arsenal, Arsene Wenger alikiri kuwa kuna timu hatari katika droo ya UEFA iliyofanyika leo ijumaa.

ASERNAL watakabiliana na Besiktas  katika mchezo wa raundi ya pili ya mtoano ya ligi ya mabingwa barani Ulaya (UEFA).
Arsene Wenger alikwepa kukutana na Athletic Bilbao, Lille , FC Copenhagen, Standard Liege, lakini sasa atachuana na timu hiyo ya Uturuki ambayo siku za karibuni ilimsajili Demba Ba kutoka Chelsea kwa ada ya uhamisho ya paundi milioni  4.7.
Besiktas ilimaliza katika nafasi ya tatu msimu uliopita, lakini imefuzu kucheza UEFA baada mabingwa Fenerbahce kufungiwa kucheza mechi za michuano ya ulaya kwa kosa la kupanga matokeo ya mechi ya nyumbani.
Always there: Arsenal will be looking to secure their 17th successive season in Europe's elite competition
Arsenal atacheza michuano ya ulaya kwa mwaka wa 17 mfululizo 
Suspended: Defender Bartosz Bereszynski came of for the final few minutes of Celtic's defeat
Amefungiwa: Beki Bartosz Bereszynski alitolewa dakika za mwisho katika kipigo cha Celtic
Agony and ecstasy: Legia Warsaw's players celebrate at full time as Stefan Johansen is left dejected
Wachezaji wa Legia Warsaw wakishangilia baada ya dakika tisini, huku Stefan Johansen akiacha hoi.

Arsenal watasafiri kwenda Uturuki kucheza mechi ya kwanza Agosti 19 au 20 mwaka huu na mechi ya marudiano itapigwa Emirates Agosti 26 au 27.
Kiungo wa Asernal mwenye asili ya Uturuki, Mesut Ozil alifurahishwa na droo na kuandika kwenye mtandao wa Twita akisema: 'Droo nzuri! tayari tunaangalia mbele kuelekea mechi dhidi! @Besiktas! #Turkey #Ä°stanbul #Arsenal #AFC #UCLdraw'.
Wakati huo huo, leo asubuhi, Celtic wamepewa nafasi ya kusonga mbele baada ya kubainika kuwa klabu ya Legia Warsaw ilimchezesha mchezaji asiyekuwa na vigezo.
Kamati ya nidhamu ya UEFA ilikutana na kutoa maamuzi kabla ya droo mjini Nyoni na kuamua kuwa Celtic wanatakiwa kupewa ushindi wa mabao 3-0 katika mchezo wa pili na inamaanisha wamesonga mbele kwa magoli ya ugenini.
DRAW NZIMA HII HAPA

FULL CHAMPIONS LEAGUE PLAY-OFF ROUND DRAW

Maribor vs Celtic
Red Bull Salzburg vs Malmo
Aalborg vs APOEL
Steaua Bucharest vs Ludogoret
Slovan Bratislava vs BATE
Besiktas vs Arsenal
Standard Liege vs Zenit
Copenhagen vs Bayer Leverkusen
Lille vs Porto
Napoli vs Athletic Bilbao
Ties to be played on the 19/20 and 26/27 August 

0 maoni:

Post a Comment

waliotembelea blog