Thursday, July 31, 2014

433211_heroa 
NEYMAR ameweka wazi kuwa atarudi uwanjani agosti 18 mwaka huu kuitumikia Barcelona katika mechi ya maandalizi ya kabla ya msimu ya kombe la Joan Gamper dhidi ya Leon.
Mbrazil huyo alivunjika mfupa wa uti wa mgongo wakati wa mechi ya robo fainali ya kombe la dunia dhidi ya Colombia na alizikosa mechi mbili.
Neymar aliwakosa Ujerumani, hatua ya nusu fainali na Uholanzi mechi ya mshindi wa tatu.

0 maoni:

Post a Comment

waliotembelea blog