Wednesday, July 30, 2014



Tatizo likaanza: Seydou Keita (wa pili kushoto) aligoma kupokea mkono wa Pepe (wa nne kushoto).

MSIMU bado haujaanza, lakini tayari dunia imeanza kuzungumzia upinzani wa Real Madrid na Barcelona.
Lakini wakati huu klabu ya Katalunya haijahusika-kiukweli, hisia mbaya zimekuja katika mchezo wa maandalizi ya kabla ya msimu baina ya Real Madrid na nyota wa zamani wa Barca.
Mchezaji wa Roma, Seydou Keita aligoma kusalimiana na beki wa Ureno, Pepe na kumrushia chupa ya maji kabla ya mechi hiyo ya kirafiki kuanza.
Chill: A team-mate tries to calm the Mali midfielder down but judging by his behaviour later it didn't work...
Tulia: Mchezaji mwenzake akijaribu kumtuliza kiungo huyo wa Mali, lakini haikusaidia kitu.
Impact: Keita's team-mates try to pull him away (bottom centre) after Madrid players take issue with his actions, but he goes a step further
Mchezaji mwenzake na Keita akijaribu kumuondoa kwenye eneo la tukio baada ya wachezaji wa Real Madrid kuanza kulalamika
Ouch: Keita's thrown bottle skims off the side of Pepe's head (top right), spraying him with water
Bifu: Keita alimrushia chupa ya maji Pepe (juu kabisa kulia) na kumlowanisha.
Taunt: Pepe (second right) smirks back at Keita (bottom) after that bottle falls to the floor behind him
Acha hizo!: Pepe (wa pili kulia) avumilivu ulimshinda baada ya chupa ya maji kutua karibu yake na akarudi kulianzisha.
Pia inasemekana Pepe alikuwa na mzozo na Keita wakati wa mechi, lakini hawakunaswa na kamera.
Haya yalitokea katika ushindi wa bao 1-0 wa Roma dhidi ya mabingwa hao wa Ulaya, jumatano asubuhi katika mchezo wa kombe la kimataifa la Guinness mjini Dallas.
Pepe na Keita walikuwa na bifu miaka ya nyuma kwenye mechi za El Clasico na walipokutana tena wameliendeleza.
Wawili hao wana historia: Keita alimtuhumu Pepe kuwa alimuita nyani kwenye mechi ya El Clasico ya Supercopa mwaka 2011.
History: Keita and Pepe aren't the best of friends - with the former once accusing the latter of racism
Historia: Keita na Pepe hawakuwa marafiki ambapo mchezaji huyo wa zamani wa Barca alimtuhumu mwenzake kwa kumuonesha ubaguzi wa rangi.

Safari hii baada ya Keita kugoma kumsalimia mpinzani wake kabla ya mechi, walitenganishwa na wachezaji wenzao, ambapo Iker Casillas na Xabi Alonso walikuwa wapatanishi wa amani.
Angry: Keita still seems to be wound up as he takes issue with Real's Isco after the incident
Hasira: Keita bado anaonekana kuwa na hasira wakati ikiongea na mchezaji wa Real Madrid, Isco baada ya tukio hilo.

0 maoni:

Post a Comment

waliotembelea blog