Saturday, September 13, 2014


Martín Demichelis ndie aliyewasawazishia bao na kufanya 2-2 katika dakika ya 83 baada ya kazi nzuri ya Aleksandar Kolarov kutoa pande kwa Demichelis.Jack Wilshere akishangilia bao lake. Jack Wilshere dakika ya 63 aliisawazishia Arsenal na dakika ya 74 kipindi hicho cha pili Alexis Sánchez aliwapa bao la pili Arsenal na kufanya 2-1 dhidi ya City baada ya kazi nzuri ya Jack Wilshere.Sergio Agüero akishangilia bao lake la dakika ya 28 kipindi cha kwanza dhidi ya Arsenal.
Dakika ya 28 kipindi cha kwanza Sergio Agüero anaipachikia bao safi timu yake ya Man City  na kufanya 1-0 dhidi ya Arsenal ambao ndio wenyeji kwenye Uwanja wao wa Emirates. Hadi Mapumziko City ndio walikuwa wanaongoza kwa bao 1-0.

0 maoni:

Post a Comment

waliotembelea blog