Friday, July 18, 2014


TONI Kroos amekamilisha uhamisho wa paundi milioni 24 kujiunga na Real Madrid kutokea kwa mabingwa wa Ujerumani, Bayern Munich.
Bayern walitangaza jana usubuhi kwamba klabu hizo mbili zimefikia makubaliano na uhamisho utafanyika mara moja.
Mkataba wa Kroos ilikuwa unamalizika majira ya kiangazi mwakani na mshindi huyo wa kombe la dunia amesaini mkataba wa miaka sita katika dimba la Santiago Bernabeu.
Kroos alitambulishwa rasmi jana na hapa chini ni baadhi ya picha zilizopigwa katika utambulisho wake ndani ya dimba la Bernabeu.
Delighted: Real Madrid president Florentino Perez unveils Toni Kroos following his move

Furaha: Rais wa Real Madrid,  Florentino Perez akimtambulisha Toni Kroos baada ya kukamilisha uhamisho.
Eye on the ball: Kroos does some kick-ups at the Santiago Bernabeu
Done deal: Kroos holds up his No 8 shirt at his unveiling in Madrid
Kroos atakayekuwa anavaa jezi namba 8 akionesha maujanja ta kuchezea gozi la ng`ombe ndani ya dimba la Bernabeu.
Dream move: Kroos was unveiled in glorious sunshine in Madrid
Golden boy: The former Bayern Munich man was integral during Germany's World Cup triumph
Wamepigwa chini: Manchester United walikuwa wakihusishwa kumsajili Kroos, lakini mwisho wa siku ni Real Madrid wamefanya yao.
Wanted: The German applauds the Madrid fans that attended his unveiling at the Santiago Bernabeu
Kroos akiwashukuru mashabiki wa Real Madrid waliohudhuria katika utambulisho wake ndani ya dimba la Santiago Bernabeu
Superstar: The World Cup-winning midfielder enjoys the adulation of Real Madrid's fans
Nyota: Mshindi wa kombe la dunia akifurahia na mashabiki wa timu yake mpya ya Real Madrid.
Great shakes: Toni Kroos (left) meets Real Madrid boss Carlo Ancelotti as he signs for the Spanish giamts
Karibu kijana: Toni Kroos (kushoto) akisalimiana na kocha wa Real Madrid, Carlo Ancelotti baada ya kusaini mkataba wake
Welcome aboard: Kroos is greeted by  Assistant coach Fernando Hierro
Karibu: Kroos akisalimiana na kocha msaidizi Fernando Hierro.

0 maoni:

Post a Comment

waliotembelea blog