Friday, July 18, 2014

Leo hii Stamina ametengeneza gumzo kwa mashairi yaliyo katika wimbo wake mpya na Nay wa Mitego "Huko Kwenu Vipi" ambao wamejibizana kuhusu mziki wa kuimba na mziki wa hiphop (Ngumu)
Lengo kubwa katika ngoma hii ni kutuweka pamoja wasani, kusiwe na tabaka la bongo fleva hivi hiphop hivi wote tuwe kitu kimoja amesema Stamina.
huu ni mmoja kati ya mashairi yaliyoko katika wimbo huo .
 
Stamina " kwa kupost picha insta, hilo mnaongoza, utaskia mjengo wangu mpya kumbe umepanga mnajiongeza. naskia daily mpo gym eti mnatanua vifua, wakati mkirudi makweni wengi wenu mnajichubua
 
Nay wamitego: " Nyie mnajifanya mnakaza huku mnakufa na njaa, hakuna mnachopata zaidi ya sifa kwenye mitaa, kwanza mnatudhalilish akutwa mnatupiga vizinga, umerekani mwingi mpaka mnakula unga"

0 maoni:

Post a Comment

waliotembelea blog