Friday, July 11, 2014

article-2688109-1F8DDD0F00000578-722_634x454 
Kwenye rada: Beki wa Atletico Madrid, Javi Manquillo anatakiwa na Arsenal.
KLABU ya Arsenal inafanya jitihada za kumsajili beki wa kulia wa Atletico Madrid , Javi Manquillo.
Washika mtutu hao wa London wanataka kumsajili beki huyo wa Hispania kwa lengo la kuongeza ushindani katika nafasi ya beki wa kulia msimu ujao.
Kama watakamilisha usajili huo, basi Manquillo atachuana katika nafasi hiyo na beki waliomsaini siku chache zilizopita, Mathieu Debuchy.
article-2688109-15AAA01D000005DC-583_634x486 
Njiani kusepa: Carl Jenkinson anaweza kuondoka Asernal na anawindwa zaidi na Newcastle.

0 maoni:

Post a Comment

waliotembelea blog