Thursday, May 8, 2014


Dakika ya 12 tu Jack Colback aliipachikia Sunderland bao, Bao la pili lilifungwa na Fabio Borini katika dakika ya 31 baada ya kupata mpira kutoka kwa Sebastian Larsson.
 Fabio Borini akitupia katika dakika ya 31 na kufanya 2-0 kabla ya kwenda mapumziko.
Kama kawaida kwa Fabio Borini akishangilia aina yake ile alipoipachikia bao la pili Sunderland.
VIKOSI:
Sunderland: Mannone, Vergini, O'Shea, Brown, Alonso, Cattermole, Johnson, Larsson, Colback, Borini, Wickham.
Subs: Bardsley, Altidore, Ba, Giaccherini, Bridcutt, Scocco, Ustari.

West Brom: Foster, Reid, Lugano, McAuley, Brunt, Anichebe, Yacob, Morrison, Dorrans, Sessegnon, Berahino. 

Subs: Olsson, Sinclair, Myhill, Vydra, Mulumbu, Dawson, O'Neil.
Referee: Lee Mason

0 maoni:

Post a Comment

waliotembelea blog