Wednesday, February 19, 2014


Helping hand: England manager Roy Hodgson receives a hand leaving the boat after riding up the Amazon river
Kocha wa timu ya taifa ya England, Roy Hodgson wiki hii ametembelea sehemu tofauti nchini Brazil ambazo zitatumika na timu ya England kufanya mazoezi, kucheza na kulala. Baadhi ya maeneo ambayo Roy ametembelea ni pamoja na uwanja wa Arena Amazonia ambao England watafungua dimba dhidi ya Italy na pia alitembelea miji ya Manaus, Rio de Janeiro, Sao Paulo na Belo Horizonte. Katika mahojiano yake na waandishi wa habari baada ya kuzungukia maeneo haya Roy alisema ' Brazil kuna joto sana, kama ilivyokuwa South Afrika na America mwaka 94, lakini tulishacheza na Brazil Rio de Janeiro naamini tutaweza kushindana kwenye hali hii'. Timu ya England ipo kundi D pamoja na timu za Italy, Uruguay na Costa Rica. 
Taking it all in: Hodgson takes in the view during his boat ride during his trip to the Brazilian city of ManausTour: The trip is the first time England manager Hodgson has visited the Brazilian jungle city Tour: The trip is the first time England manager Hodgson has visited the Brazilian jungle city
Ahoy Roy! Hodgson and an England delegation enjoyed a tour of the city where England will kick off their World Cup against Italy this summerHot hot hot! Hodgson, pictured outside the city's opera house, admits England will have to come to terms with the high temperaturesThumbs up: Hodgson was accompanied by England's secretary of State for Foreign and Commonwealth Affairs, William Hague (right) Thumbs up: Hodgson was accompanied by England's secretary of State for Foreign and Commonwealth Affairs, William Hague (right)
The big kick-off: England will begin their World Cup campaign against Italy at the Arena Amazonia
Huu ni uwanja wa Arena Amazonia ambao England watafungua dimba dhidi ya Italy

0 maoni:

Post a Comment

waliotembelea blog