Wednesday, January 29, 2014

 

 Kocha wa Manchester City akijionea mwenyewe wenzao bao 5-1 kwao White Hart Lane.

 
 Bao la nne kwa City limefungwa na Stevan Jovetic katika dakika ya 78, Huku Spurs wakicheza pungufu wakiwa 10. Spurs Mchezaji wao alifanya makosa na hatimaye Kompany akawashona bao la tano na kufanya 5-1 dhidi ya wenyeji Spurs.
Yaya Toure na Dzeko wakipongezana baada ya kupata bao.

Yaya Toure akifunga mkwaju wa penati
 
 
 
 

 
 Kocha wa Spurs akitoa maelekezo kwa wachezaji baada ya kuona wanapitiwa kimchezo na kufungwa fungwa katika kipindi cha pili.

0 maoni:

Post a Comment

waliotembelea blog