Wednesday, January 29, 2014


Image
Tayari kikosi cha umoja wa Ulaya kimepewa ruhusa na Umoja wa mataifa ya kwenda Jamhuri ya Afrika Kati ili kuwalinda raia.Kwenye azimio lililopitishwa kwa kauli moja na wanamemba 15 wa Baraza la Usalama la Umoja wa mataifa ni kwamba viongozi wa makundi yaliohusika na ukiukaji wa haki za binaadamu wataekewa vikwazo na Umoja huo.Taarifa kamili na mwandishi wetu Saleh Mwanamilongo . Kusikiliza taarifa hiyo bonyeza alama ya spika za masikioni hapo chini.

0 maoni:

Post a Comment

waliotembelea blog