Wednesday, January 29, 2014


Dabi ya Merseyside imemalizika kwa Liverpool kuwafunga watani zao Everton Uwanjani Anfield kwa kuwatandika Bao 4-0.
Hadi Mapumziko, Liverpool walikuwa mbele 3-0 kwa Mabao ya Gerrard, Sturridge, Bao 2, na Suarez kupiga la 4 Kipindi cha Pili.
 
 
 
Raha za kufunga bao Steven Gerrard akichomoka kwa mbio kwenda mbele ya mashabiki kushangilia
 
 
L
 
 
 
 
 
 

0 maoni:

Post a Comment

waliotembelea blog