Wednesday, January 29, 2014



Bao la Pili lilifungwa vizuri sana na Ashley Young na kuipa Man United ushindi wa Bao 2-0 dhidi ya Cardiff City ambayo Meneja wao mpya, Ole Gunnar Solksjaer, Nguli wa Man united, alipokewa vizuri na Mashabiki wa Old Trafford.



.
Juan Mata kaanza kipindi cha kwanza na pia mpaka cha pili kisha nafasi yake ikachukuliwa na Rooney




Young akishangilia bao lake la pili na kufanya 2-0 






Evra akichuana na mchezaji wa Cardiff leo usiku kwenye uwanja wa Old Trafford
Mata akipongezana na Van Persie


 




0 maoni:

Post a Comment

waliotembelea blog