Sunday, August 16, 2015


Basi la Simba likiwasili uwanja wa Taifa
Basi la Simba likiwasili uwanja wa Taifa
Kikosi cha Simba SC leo kinacheza mchezo wake wa kirafiki wa kimataifa dhidi ya timu ya URA kutoka Uganda ikiwa ni sehemu ya maandalizi kuelekea msimu ujao wa ligi kuu Tanzania bara 2015-2016 mchezo utakaopigwa kwenywe uwanja wa Taifa. 
Hizi ni baadhi ya picha za wachezaji wa kikosi cha Simba wakati wakiwasili uwanja wa Taifa kwa ajili ya mchezo huo.
Wachezaji wa Simba kabla ya kushuka kwenye gari
Wachezaji wa Simba kabla ya kushuka kwenye gari
Ibrahim Ajibu
Ibrahim Ajibu
Mwinyi Kazimoto
Mwinyi Kazimoto
Justice Majabvi
Justice Majabvi
Awadh Juma
Awadh Juma
Simba

0 maoni:

Post a Comment

waliotembelea blog