Thursday, July 23, 2015


Wachezaji wa Simba SC wakiwa mazoezini kwenye Uwanja wa Amaan, Zanzibar kujiandaa na mechi dhidi ya AFC Leopards mwezi ujao katika tamasha la Simba Day litakalofanyika na baadaye Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara. Kulia ni kocha wa mazoezi ya utimamu wa mwili, Mserbia DuÅ¡an Momcilovic.

0 maoni:

Post a Comment

waliotembelea blog