Monday, November 17, 2014


Taifa Stars leo huko Mjini Mbabane, Swaziland Uwanjani Somhlolo imetoka Sare ya Bao 1-1 na Timu ya Taifa ya Swaziland, Sihlangu, katika Mechi ya Kimataifa ya Kirafiki.

Sihlangu waliongoza Kwa Bao 1-0 hadi Mapumziko na Taifa Stars kusawazisha kwa Bao la Thomas Ulimwengu Dakika ya 51.
Lakini Ulimwengu aliikosesha Stars ushindi baada ya kukosa Penati katika Dakika ya 72.
Sihlangu waliongoza Kwa Bao 1-0 hadi Mapumziko na Taifa Stars kusawazisha kwa Bao la Thomas Ulimwengu Dakika ya 51.
Lakini Ulimwengu aliikosesha Stars ushindi baada ya kukosa Penati katika Dakika ya 72.

0 maoni:

Post a Comment

waliotembelea blog