Tuesday, August 5, 2014



Washiriki wa shindano la Redd’s miss Kinondoni 2014 wakiwa katika picha ya pamoja kwenye mazoezi yanayofanyika kwenye Hotel ya Picolo jijini Dar es Salaam, Jumla ya warembo 20 wapo mazoezini kujiandaa na shindano litakalofanyika ijumaa 15/08/2014 katika Fukwe za Escape One kwa kiingilio cha 10,000 na 30,000 kwa VIP.
Wanyange 20 kuchuana jukwaani kutafuta mshindi
Warembo wakiwa kwenye picha ya pamoja
Fainali wiki ijayo Agost 15


0 maoni:

Post a Comment

waliotembelea blog