Tuesday, August 5, 2014


Teaming up: Cristiano Ronaldo and James Rodriguez give the thumbs up at Real Madrid training 
Wamekutana: Cristiano Ronaldo na James Rodriguez wakitoa dole kuashiria mambo 'supa' wakati wa mazoezi ya Real Madrid.
MWANASOKA BORA wa dunia, Cristiano Ronaldo amekutana na kijana mpya wa Real Madrid James Rodriguez katika mazoezi ya klabu hiyo mjini Madrid nchini Hispania.
Rodriguez  alijiunga na mabingwa hao wa Ulaya kutokea klabu ya Monaco kwa dau la paundi milioni 60 baada ya kuonesha kiwango kikubwa katika fainali za kombe la dunia majira ya kiangazi mwaka huu na kutwaa kiatu cha dhahabu cha mfungaji bora wa mashindano.
Baada ya mapumziko akitokea kombe la dunia kuiwakilisha Colombia, nyota huyo aliripoti katika uwanja wa mazoezi wa klabu hiyo wa Valdebebas HQ ambapo aliungana na wenzake.
Close ball control: Ronaldo works with the football during training at Valdebebas
Ronaldo akifanya mazoezi katika uwanja wa Valdebebas
Keep it up: Real stars (from left) Ronaldo, Karim Benzema, Rodriguez and Raphael Varane during the session
Ona kitu hicho: Nyota wa Real  (kutoka kushoto) Ronaldo, Karim Benzema, Rodriguez na Raphael Varane wakati wa mazoezi ya Real Madrid

0 maoni:

Post a Comment

waliotembelea blog