Tuesday, August 5, 2014


Wayne Rooney (kushoto) akiwa amebeba Kombe na mwenzie baada ya kuifunga Timu ya Liverpool bao 3-1 usiku wa kuamkia leo
Kipndi cha pili Dakika ya 55 Wayne Rooney aliwasawazishia bao kwa kufanya 1-1 na baadae katika dakika ya 57 Juan Mata liwapachikia bao la kuongoza na kufanya 2-1 dhidi ya Majogoo
Liverpool.

Dakika ya lala salama ya 88, Jesse Lingard anaongeza bao la tatu na kufanya 3-1 dhidi ya majogoo Liverpool. Bao hilo la Jesse lilihitisha ungwe hiyo ya pili United wakiibuka na ushindi na kujinyakulia kombe la kwanza chini ya uongozi mpya wa Kocha Lous Van Gaal.Fainali hii ni ya kipekee sana!!!Nyimbo za Mataifa yao ziliimbwa kabla ya mtanange kuanza...
View image on TwitterTayari mtanange kuanza...Kikosi cha LiverpoolSteven Gerard akimfunga kipa wa United kwa mkwaju wa penati.

Gerrard mapema aliwapachikia Liverpool bao kwa mkwaju wa penati na hapa alikuwa akipongezwa na  Henderson na Lambert 
 Rooney akisawazisha bao na kufanya 1-1 baada ya kupata krosi safi kutoka kwa  Hernandez's scross

Kutangulia siyo kufika: Rooney akiwawasha Liverpool

Mtajiju: Rooney  akishangilia bao lake huko Miami baada ya kusawazisha

Juan Mata hakuchelewesha mambo ndani ya dakika 2 alitupia bao katika dakika ya 57 kipindi cha pili.

 Mata akipongezwa na Wanaunited wenzake!

 Gerrard akitupia

Wachezaji wa  United wakijiuliza kwa nini!! baada ya kufungwa penati!!

Rooney

Kocha Van Gaal
Rooney chupucupu afunge bao hapa kwenye frii kiki

Hernandez mbele ya  SkrtelShaw

 Ander Herrera akimwangaisha  Jordan Henderson

Juan Mata tena na Martin Skrtel

Antonio Valencia

 Ashley Young akichuana na Glen Johnson

Ashley Young na Glen JohnsonLuke Shaw wa Man United akiendesha..
Raheem Sterling akichuana na Phil Jones
VIKOSI:
MANCHESTER UNITED:
De Gea, Evans (Blackett 46), Smalling, Jones, Valencia (Shaw 9), Herrera (Lingard 78), Fletcher (Cleverley 46), Young, Mata (Kagawa 68), Rooney [captain], Hernandez (Nani 68).
Subs: Lindegaard, Amos, Johnstone, M Keane, James, Zaha, W Keane.
Goals: Rooney (55), Mata (57), Lingard (88)
Booking: Shaw (52).


LIVERPOOL: Mignolet, Kelly, Johnson, Skrtel, Sakho (Toure 74), Gerrard [captain] (Lucas 62), Allen (Ibe 62), Henderson, Coutinho (Peterson 77), Lambert (Can 62), Sterling.
Subs: Jones, Coates, Coady, Phillips, Robinson, Suso.
Goal: Gerrard (14, pen)
Attendance: 51,104

0 maoni:

Post a Comment

waliotembelea blog