Monday, November 23, 2015


Adam Lallana akifurahia Ushindi kwenye Uwanja wa Etihad baada ya Eliaquim Mangala (katikati) kujifunga.
Philippe Coutinho akishangilia bao lake

Firmino alifanya 3-0

Straika wa Man City  Sergio Aguero ndie aliyewapa bao la kufutia machozi Etihad

Manchester City walipata bao lao kupitia kwa Sergio Agüero dakika ya 44 na bao kuwa 3-1.
Liverpool walipata bao kupitia kwa Eliaquim Mangala aliyejifunga bao mapema dakika ya 7 na bao la pili lilifungwa na Philippe Coutinho dakika ya 23 na lile la Roberto Firmino dakika ya 32. 


Dakika ya 81 Martin Skrtel alipiga bao la 4 na kufanya matokeo kuwa 4-1 dhidi ya Timu ya Manchester City.

0 maoni:

Post a Comment

waliotembelea blog