Monday, November 23, 2015


Jamie Vardy akishangilia bao lake la 10 na kwenye mechi 10 leo hii.
Bao za Jamie Vardy, Leonardo Ulloa na Okazaki zimewapa Leicester City ushindi wa 3-0 walipocheza Ugenini huko Saint James Park na Newcastle na kuwapaisha hadi kileleni mwa Ligi Kuu England ambako wanaweza kubaki ikiwa baadae Leo Man City hawatashinda Mechi yao na Liverpool.
Bao la Leo la Jamie Vardy limemfanya afikishe Bao 10 mfululizo kwenye Ligi na kumafanya aishike Rekodi ya Straika wa zamani wa Manchester United Ruud van Nistelrooy aliefanya hivyo hapo hapo Saint James Park.

Mambo yamekwenda kombo leo kwa Meneja Steve McClaren

0 maoni:

Post a Comment

waliotembelea blog