Tuesday, September 1, 2015



KINDA wa umri wa miaka 19, Anthony Martial amekamilisha uhamisho wa Pauni Milioni 36 kujiunga na Manchester United kutoka Monaco katika dili ambalo dau linaweza kupanda hadi Pauni Milioni 58.
Mchezaji huyo wa timu ya vijana chini ya umri wa miaka 21 ya Ufaransa amesaini Mkataba wa miaka minne katika siku ya leo ya mwisho ya usajili.
Aliwasili mjini Manchester jana kwa vipimo vya afya  kabla ya kusaini Mkataba leo na kukabidhiwa jezi namba tisa Manchester United, huku Mkataba wake ukiwa na kipengele cha kuongezewa mwaka mmoja.
Manchester United imemtangaza rasmi Anthony Martial kutoka Monaco aliyesaini Mkataba wa miaka minne

The 19-year-old completed a £36m move to Old Trafford from French Ligue 1 club Monaco
The 19-year-old completed a £36m move to Old Trafford from French Ligue 1 club Monaco

0 maoni:

Post a Comment

waliotembelea blog