Tuesday, September 1, 2015


BEKI wa kimataifa wa Senegal, Papy Djilobodji amesaini Mkataba wa miaka minne kujiunga na Chelsea kutoka Nantes ya Ufaransa kwa ada ya Pauni Milioni 3.
Mabingwa wa Ligi Kuu ya England, wamemsaini mchezaji huyo mwenye umri wa miaka 27 baada ya mpango wao wa kumcbhukua beki wa Everton, John Stones kushindikana tena.
Chelsea imeruhusu mabao tisa kutinga nyavuni mwake katika mechi nne na kupoteza pointi nne hivyo kujikuta wanazidiwa pointi nane na vinara Manchester City. 
Beki wa Senegal, Papy Djilobodji amesaini Mkataba wa miaka minne kujiunga na Chelsea kutoka Nantes
Senegal defender Papy Djilobodji has signed a four-year deal with Chelsea, Nantes have announced
Chelsea moved for the 27-year-old after their overtures for Everton's John Stones (above) were rebuffed
Djilobodji was sent on his way with Nantes wishing him all the best at Chelsea
Jose Mourinho was desperate to sign a defender with the clock ticking in the summer transfer window

0 maoni:

Post a Comment

waliotembelea blog