Friday, July 3, 2015


IMG-20150703-WA0036
Mara nyingi tunasikia stori kuhusu watu kukamatwa na dawa za kulevya kwenye viwanja vya ndege, wapo wanaotoka TZ kwenda nje na wapo wanaokamatwa wanaziingiza pia kutoka nje ya nchi.. nina hii stori kutoka ITV kuhusu mtu kukutwa na bangi ndani ya basi.
IMG-20150703-WA0037
Basi la Maning’inice lilitoka Mtwara kwenda Dar, njiani kulikuwa na Checkpoint ya Polisi ambapo jamaa aliyebeba bangi kwenye begi aliomba akajisaidie, Polisi walipoingia kwenye gari kukagua wakakutana na begi hilo lililojaa bangi na jamaa mwenye nalo alikuwa ameshakimbia tayari.
IMG-20150703-WA0038
Kuna mtu mmoja aliteremka akasema ana mkojo.. Askari akauliza nani mwenye hili begi yule jamaa akaanza kukimbia vichakani. Askari wakakimbizana nae maporini, akatokomea“– amesimulia dereva wa basi hilo, Hashim Mohamed.
IMG-20150703-WA0030
IMG-20150703-WA0029
Bangi iliyokutwa kwenye begi hilo ina uzito wa kama kilo 25 hivi… Stori hiyo nimeirekodi kwenye Habari iliyoruka ITV, na haoa utaisikiliza yote kwenye hii sauti.

0 maoni:

Post a Comment

waliotembelea blog