Friday, July 3, 2015

255 imepiga stori na 255 Mb Dog amesema bado ana mpango wa kuendelea kufanya kazi na msanii mwenzake Madee kwa sababu ni mtu wake wa karibu ingawa hawajakaa karibu kwa muda mrefu.
Pia Stori za mitaani zinazungumza kuwa Video ya ‘Nana’ ya Diamond kacopy Video ya ‘Moyo wangu’..mwenyewe amesema wakati anatoa wimbo wa Moyo wangu hakuwa anajulikana sana kimataifa kama sasaivi na alichokifanya kwenye wimbo wake mpya wa Nana kaamua kuiboresha na kuiongezea ubunifu kwa kuchua vitu vichache kwenye wimbo wa Moyo wangu.


 


Stori nyingine ni kumhusu msanii Bele 9 ambaye kwa sasa ameamua kukaa kimya kujihusisha na mitandao ya kijamii na kusema hatumii kabisa..ameamua tu kurefresh na kufanya vitu vingine.. sasa anatarajia kutoa wimbo mpya na anaamini hawezi kuwa busy na mitandao alafu akafanya kitu kizuri kwa umakini
Kasema huwezi kuwa busy na mitandao ya kijamii alafu ukafanya kitu kwa umakini.




0 maoni:

Post a Comment

waliotembelea blog