Tuesday, June 9, 2015


Eugénie Le Sommer akipongezwa na wenzake baada ya kuifungia Timu yake bao katika dakika ya 29 kipindi cha kwanza kwenye Mchezo wa mpira wa Wanawake.Pongezi kwa Eugenie Le SommerKipindi cha kwanza dakika ya 29 Eugénie Le Sommer aliwafungia bao la pekee la Ushindi France kwa kuibuka kidedea dhidi ya Timu ya Taifa ya England kwa bao 1-0. Kipindi cha pili Timu hizo zilitoka bila kufungana.
Mtanange ukiendelea..Eugenie akiendesha mpiraElodie Thomis akichuana na Fara WilliamsKocha wa Timu hiyo ya Taifa ya France Philippe

0 maoni:

Post a Comment

waliotembelea blog