Thursday, June 11, 2015

Mkurugenzi wa Mawasiliano na Masoko wa Kampuni ya Mawasiliano na Masoko,Consitantine Magavila akizungumza na waandishi wa habari leo katika ukumbi wa Idara ya habari MAELEZO jijini Dar es Salaam.kutoka kushoto ni msanii wa Bongo Fleva George Mdemu (Gnako),Afisa mipango wa kampuni ya Open Society Intiative for Eastern Africa(OSIEA),Adam Antony,Afisa Elimu NEC,Rose Malo pamoja na Snura Mushi(Snura).
Afisa Elimu wa NEC,Rose Malo akizungumza na waandishi wa habari kuhusiana na vijana walioona umhimu wa kupiga kura na kuhamasisha vijana wengine kwa njia ya nyimbo,kutokana na mwaka huu kuwa ni mwaka wa Uchaguzi mkuu hapa nchini akizungumza katika ukumbi wa Idara ya habari maelezo jijini Dar es Salaam leo. kulia ni Mkurugenzi wa Mawasiliano na Masoko wa Kampuni ya Mawasiliano na Masoko,Consitantine Magavila na Afisa mipango wa kampuni ya Open Society Intiative for Eastern Africa(OSIEA),Adam Antony.

kutoka kushoto ni msanii wa Bongo Fleva George Mdemu (Gnako), Snura Mushi (Snura),Kala Masanja (Kala Jeremiah) pamoja na Boniventure Kabogo(Stamina) wakiimba kipande cha wimbo ambao utakuwa ukielimisha jamii kuhusiana na umhimu wa upigaji kura katika uchaguzi mkuu utakaofanyika Oktoba mwaka huu.
Na Chalila Kibuda,Globu ya Jamii
VIJANA wamekuwa na changamoto ya kutoshiriki katika zoezi la kujiandikisha katika daftari la kudumu la mpiga kura na kushindwa kupata haki yake msingi ya kupiga kura katika chaguzi mbalimbali zinazofanyika nchini.

0 maoni:

Post a Comment

waliotembelea blog