Thursday, June 11, 2015


www.bukobasports.comKlabu ya Swansea City inayokipiga Ligi Kuu England imethibitisha kumsaini Mchezaji mpya @AyewAndre na atavaa jezi namba 10 kwa ukamilisho huo wa ujio huo Ligi Kuu katika Klabu hiyo yenye Uwanja unaojulikana Liberty Stadium.
Andre Ayew amesajiliwa kutoka kwenye Klabu ya Marseille.

0 maoni:

Post a Comment

waliotembelea blog