Thursday, April 2, 2015



Huku kukiwa na habari nzito kuwa Chipukizi huyo moto mwenye Miaka 20 anaechezea pia England yuko mbioni kwenda Real Madrid, Bayern Munich, Manchester City na Arsenal. Liverpool ilitaka haraka kumfunga kwa kumpa Mkataba mpya mnono lakini kambi ya Sterling imegoma.
Mkataba wa sasa wa Sterling na Liverpool unakwisha 2017.

Sterling anahusishwa kwenda katika Klabu kama Real Madrid, Bayern Munich, Manchester City na Arsenal

Sterling ofa ya £100,000 kwa wiki Klabuni Liverpool ameitolea nje!
Kocha Mkuu wa Liverpool Brendan Rodgers itabidi akae kiti kimoja na Sterling iliasaini Mkataba mpya Anfield

0 maoni:

Post a Comment

waliotembelea blog