Wednesday, October 22, 2014


Kipindi cha kwanza dakika ya 13 Loïc Remy anaipachikia bao Chelsea baada ya kuwakaanga mabeki wa NK Maribor akipata pasi toka kwa kepteni John Tery  na kuwatanguliza mbele ya bao 1-0 dhidi ya NK Maribor. 
D. Drogba aliifungia bao la pili dakika ya 23 kwa mkwaju maridadi wa penati na bao la tatu alifunga Timu Kepteni wao John Terry katika dakika ya 31. Kipindi cha pili dakika ya 54 mchezaji wa Nk Maribor Mitja Viler alijifunga bao na kuwapa bao la nne Chelsea. 
Dakika ya 64 Agim Ibraimi alikosa penati baada ya mpira kugonga posti. Chelsea bao lake la tano limefungwa kwa mkwaju wa penati na Eden Hazard katika dakika ya 77 kipindi cha pili. Eden Hazard alimaliza mchezo kwa kufunga bao la mwisho la 6 katika dakika ya majeruhi ya 90 na mchezo kumalizika 6-0.Wachezaji wa Chelsea wakijifua tayari kwa kuumana uso kwa uso kwa uwakaribisha NK MariborUEFA CHAMPIONS LEAGUE
RATIBA/MATOKEO
Jumanne Oktoba 21
KUNDI E

CSKA Moscow 2 vs 2 Man City FT
AS Roma vs Bayern Munich

KUNDI F
APOEL Nicosia vs Paris St-Germain
Barcelona vs Ajax

KUNDI G
Chelsea vs NK Maribor
FC Schalke 04 vs Sporting Lisbon

KUNDI H
BATE Borisovs vs Shakhtar Donetsk
FC Porto vs Athletic Bilbao

0 maoni:

Post a Comment

waliotembelea blog