Monday, September 22, 2014


Frank Lampard alikataa kushangilia baada ya kuisawazishia bao Manchester City dhidi ya klabu yake Chelsea aliyoitumikia karibu miaka 13.

Lamapard akipongezwa na  David Silva pamoja na  Jesus Navas, a,bapo swala la kushangilia kawaachia wenzake!

Lampard akitupia na kufunga bao usawa wa penati

Andre Schurrle akishangilia bao lake kwa Chelsea kipindi cha pili kwenye uwanja wa  Etihad leo hii walipotoka sare na wenyeji wao Man City.

Schurrle akifunga bao huku akiwa anaangaliwa na Eden Hazard kama kipa  Joe Hart ataweza kuutoa  lakini hatimaye ikawa bao na kuwa 1-0 dhidi City.

Eliquim Managala kaweka kizuizi lakini mambo yakawa tofauti!

Schurrle akishangilia mbele ya Umati wa mashabiki kwenye Uwanja wa Etihad.

1-0 Schurrle  akishangilia mbele ya wapiga picha..

Pablo Zabaleta akioneshwa kadi nyekundu na mwamuzi Mike Dean baada ya kukwaruzana na staa  Diego Costa kwenye kipindi cha pili.

Zabaleta akikwaruzana na Diego Costa

Zabaleta kimya kimya akitoka nje ya Uwanja na kuwaacha Mtu 10 City.

John Terry dhidi ya  Edin Dzeko huku nae Cesar Azpilicueta akiruka juu kwa juundani ya box

wachezaji watatu wakimkaba Nemanja Matic, James Milner kulia  Fernandinho na Vincent Kompany 
Edin Dzeko na Vincent Kompany wakimkaba Diego Costa pamoja na  Branislav Ivanovic

0 maoni:

Post a Comment

waliotembelea blog