Sunday, August 3, 2014


Great start: Joe Allen is congratulated by Rickie Lambert after his opener for Liverpool against AC Milan
Mwanzo mzuri: Joe Allen akipongezwa na Rickie Lambert baada ya kuifungia bao la kuongoza Liverpool dhidi ya AC Milan.

LIVERPOOL wametinga fainali ya mashindano ya kimataifa ya maandalizi ya msimu nchini Marekani na sasa watakabiliana na wapinzani wao wakubwa Manchester United siku ya jumatatu.
Hii inatokana na ushindi wa mabao 2-0 waliopata dhidi ya AC Milani huko Charlotte.
Mabao ya Liverpool yalifungwa na Joe Allen na Suso na yaliwafanya Liverpool washinde mechi tatu kati ya tatu walizocheza kwenye mashindano hayo.
Majogoo hao wa jiji walikuwa na uhakika wa kumaliza katika nafasi ya juu ya kundi  lao kufuatia Manchester City kufungwa kwa penati 5-4 dhidi ya Olympiacos baada ya kutoka sare ya 2-2 katika dakika za kawaida.
Hata hivyo katika mchezo huo, Rickie Lambert alikosa mkwaju wa penalti.
Young star: Raheem Sterling looks to take the ball of Milan midfielder Michael Essien
Kinda nyota: Raheem Sterling akijaribu kuchukua m[ira dhidi ya kiungo wa AC Milan  Michael Essien
Spurned: Rickie Lambert missed a penalty for Liverpool, a great chance for an early goal in his Reds career

Rickie Lambert alikosa mkwaju wa penalti lciha ya Liverpool kushinda.


Kikosi cha LIVERPOOL: Mignolet, Kelly (Johnson 60), Toure (Sakho 60), Coates (Skrtel 60), Robinson Enrique 60), Lucas (Gerrard 60), Henderson (Suso 46), Allen (Can 60), Lambert (Peterson 60), Ibe (Coutinho 60), Sterling (Coady 46). 


Wafungaji wa magoli: Allen (17), Suso (89).

Kikosi cha AC MILAN: Abbiati (Gabriel 46), Abate (Zapate 80), Bonera, Rami (Mexes 66), De Sciglio, Essien (Cristante 66), Muntari (Poli 80), Saponara, Niang, Pazzini (Balotelli 46), El Shaarway (Honda 66).

Mwamuzi: David Gantar 

0 maoni:

Post a Comment

waliotembelea blog