Thursday, June 12, 2014


Bao la pili la Brazil limefungwa tena na Neymar kwa mkwaju wa penati baada ya mchezaji wa Croatia Dejan Lovren kumvuta jezi kwenye eneo hatari na Neymar kuachia mkwaju huo na kipa wa Croatia kuupangulia ndani lango lake na kufanya 2-1 dhidi ya Croatia.
Bao la tatu lilifungwa na Oscar katika daika za majeruhi kwenye dakika ya za nyongeza 90+1, Baada ya kupewa pasi na zikiwa zimeongezwa dakika 4. Na mpira kumalizika kwa Wenyeji  Brazil wakiwa washindi wa bao 3-1 dhidi ya Croatia. Brazil ndio walianza kujifunga bao mapema dakika ya 11 kupitia kwa Marcelo kujifunga bahati mbaya kwenye eneo hatari la kipa na Baadae dakika 29 Staa Neymar aliyekuwa ameisha pewa kadi ya njano, Dakika ya 29 aliwachomoka mabeki wa Croatia na kuisawazishia bao timu yake ya Brazil na kufanya 1-1 kwa kupewa pasi nzuri na Oscar.Wachezaji wa Brazil wakishangilia baada ya mchezaji wao nyota Neymar kusawazisha bao kwa kufanya 1-1.Mchezaji wa Croatia Vedran Corluka akishangilia bao lao la kwanza walilojifunga Brazil mapema dakika ya 11.Neymar scores the equaliser for Brazil
Bao la pili la Brazil limefungwa tena na Neymar kwa mkwaju wa penati baada ya mchezaji wa Croatia Dejan Lovren kumvuta jezi kwenye eneo hatari na Neymar kuachia mkwaju huo na kipa wa Croatia kuupangulia ndani lango lake na kufanya 2-1 dhidi ya Croatia.Patashika za hapa na pale
Timu zote mbili Katikati ya Uwanja zikiwa tayari kwa kipute..Kombe la Dunia Brazil 2014 usiku huu.Mchezaji wa  Brazil David Luiz wakishikana vikali na mchezaji wa Croatia  Ivica Olic kwenye mchezo wa kwanza kundi  A unaondelea usiku huu...
Mashabiki wa Brazil kwenye uwanja wa  Sao Paulo Arena wakiishangilia timu yaoWachezaji wa Brazil wakiwa tayari kwa Wimbo wa Taifa

VIKOSI:
Brazil:
Julio Cesar, Dani Alves, Thiago Silva, Luiz, Marcelo, Paulinho, Gustavo, Hulk, Oscar, Neymar, Fred.
Subs: Jefferson, Fernandinho, Dante, Maxwell, Henrique, Ramires, Hernanes, Willian, Bernard, Jo, Maicon, Victor.

Goal:Neymar 29  71pen, Oscar 90+1.

Croatia: Pletikosa, Srna, Corluka, Lovren, Vrsaljko, Modric, Rakitic, Perisic, Kovacic, Olic, Jelavic.
Subs: Zelenika, Pranjic, Vukojevic, Schildenfeld, Brozovic, Rebic, Sammir, Vida, Eduardo, Subasic.

Goal: Marcelo 11og.
Referee: Yuichi Nishimura (Japan)

0 maoni:

Post a Comment

waliotembelea blog