Tuesday, December 8, 2015



DROO ya Raundi ya 3 ya Kombe kongwe Duniani, FA CUP, ambalo sasa linaitwa Emirates FA Cup kwa sababu za kiudhamini, itafanyika Leo na kuzihusisha Klabu za Ligi Kuu England na Daraja la Championship ambazo huanzia hapa. Droo ya Leo, ambayo itafanyika huko Sport Wales National Centre Mjini Cardiff, itahusisha Timu 64 na Mechi zake kuchezwa kati ya Ijumaa Januari 8 na Jumatatu Januari 11.
Arsenal ndio Mabingwa Watetezi baada ya kulitwaa Kombe hili kwa mara ya pili mfululizo Mwezi Mei Mwaka huu.
Droo ya Raundi
Timu zilizopo na Namba za Droo:

1 AFC Bournemouth
2 Arsenal
3 Aston Villa
4 Birmingham City
5 Blackburn Rovers
6 Bolton Wanderers
7 Brentford
8 Brighton & Hove Albion
9 Bristol City
10 Burnley
11 Cardiff City
12 Charlton Athletic
13 Chelsea
14 Crystal Palace
15 Derby County
16 Everton
17 Fulham
18 Huddersfield Town
19 Hull City
20 Ipswich Town
21 Leeds United
22 Leicester City
23 Liverpool
24 Manchester City
25 Manchester United
26 Middlesbrough
27 Milton Keynes Dons
28 Newcastle United
29 Norwich City
30 Nottingham Forest
31 Preston North End
32 Queens Park Rangers
33 Reading
34 Rotherham United
35 Sheffield Wednesday
36 Southampton
37 Stoke City
38 Sunderland
39 Swansea City
40 Tottenham Hotspur
41 Watford
42 West Bromwich Albion
43 West Ham United
44 Wolverhampton Wanderers
45 Bradford City
46 Newport County
47 Peterborough United
48 Portsmouth
49 Eastleigh
50 Northampton Town
51 Exeter City
52 Doncaster Rovers
53 Grimsby Town or Shrewsbury Town
54 Yeovil Town
55 Bury
56 Carlisle United
57 Leyton Orient or Scunthorpe United
58 Wycombe Wanderers
59 Colchester United
60 Chesterfield or Walsall
61 Sheffield United
62 Salford City or Hartlepool United
63 Dagenham & Redbridge or Whitehawk
64 Oxford United

0 maoni:

Post a Comment

waliotembelea blog