Monday, August 31, 2015



Mtoto wa mshambuliaji wa kimataifa wa Uingereza na nahodha wa klabu ya Manchester United Kai Rooney alionekana mwenye furaha, katika mapumziko ya mwisho wa wiki na mama yake mzazi Coolen Rooney wakiwa Hispania kwani alipata bahati ya kukutana na wachezaji wa FC Barcelona.
CNuEGMjWIAA71TR
Kai Rooney ambaye ni mtoto wa Wayne Rooney alionyesha kuwa na furaha kupata bahati ya kukutana na Lionel Messi, Suarez, Neymar na Pique hivyo mama yake aliamua kuiweka picha aliyopiga mtoto wake na mastaa hao katika mtandao wa twitter na kumshukuru beki wa zamani wa Man United

0 maoni:

Post a Comment

waliotembelea blog