Tuesday, April 14, 2015


cde42378-2688-46e1-a4cc-8e558cbbe70f-1020x612 
Zimefanyika kampeni mbalimbali duniani kote kupinga tukio la wasichana waoaminiwa kutekwa na kundi la kigaidi la Boko haramu nchini Nigeria, wasichana ambao walitekwa wakiwa shuleni.
Leo Jumanne ya April 14 2015 watu mbalimbali Nigeria wameandamana kimya kimya huku wakiwa wameziba midomo katika jiji la Abuja pamoja na mabango yenye #BringBackOurGirls.. leo ni mwaka mmoja tangu wasichana  247 wa shule  moja Chibok watekwe na  kundi la Boko Haram huku wakiwa na mabango yenye ujumbe uliosomeka
Rais wa Nigeria Muhammadu Buhari amesema ingawa hawezi kuthibitisha kama wasichana hao wataweza kuokolewa lakini Serikali itafanya kila njia kuhakikisha wasichana hao wanapatikana.
Hapa nina hizi PICHAZ ambazo zinaonesha maandamano hayo leo NIGERIA.
bb1 


BB4-600x450

BB5 



BB2-600x450



BB4 




BB7-600x450

0 maoni:

Post a Comment

waliotembelea blog