Saturday, August 9, 2014

Record holder: Drogba scored 65 goals in his 104 caps for Ivory Coast, more than any other playerDrogba alisaidia Nchi yake katika upatanishi baada ya mgogoro wa kisiasa
Mchezaji soka maarufu wa Ivory Coast Didier Drogba, ametangaza kustaafu kutoka katika soka ya kimataifa.
Mchezaji huyo mwenye umri wa miaka 36, alichezea Ivory Coast zaidi ya mara miamoja.
Alishiriki kombe la dunia mara tatu na mashindano ya kombe la Afrika mara 2
Amesema kuwa anajivunia kusaidia nchi yake kufika katika nafasi hiyo kimataifa.
Drogba alipigia debe kumalizika kwa mgogoro wa kisiasa na pia kuhimiza pande zilizozozana kupatana.
ACN: Didier Drogba and the Ivory Coast finished runners-up in the 2012 African Cup of NationsDidier Drogba

0 maoni:

Post a Comment

waliotembelea blog