Tuesday, July 15, 2014


Nervous: Scolari sings the national anthem before their third place play-off against HollandKocha wa Brazil Luiz Felipe Scolari amelaumiwa kwa kichapo ilichopata Brazil Ripoti nchini Brazil zinasema kuwa kocha wa timu ya taifa ya Brazil,Luiz Felipe Scolari, ameacha kazi kama meneja wa timu hiyo. Scolari alilaumiwa pakubwa sana kwa timu ya Brazil kupata kichapo kibaya ilipocheza na Ujerumani ambao wameibuka mabingwa wa kombe la dunia mwaka huu. Kichapo hicho kilikuja wakati wa mechi ya nusu fainali dhidi ya Ujerumani. Taarifa rasmi huenda ikatolewa baadaye leo na shirikisho la soka la Brazil.Luiz Felipe Scolari

Luiz Felipe Scolari  kwenye wasiwasi kubwa baada ya kupoteza kwa kufungwa bao  3-0 l kutoka kwa Holland juzi jumamosi.

Scolari aliwaongoza Brazil na waliambulia nafasi ya Nne katika Michuano ya fainali za kombe la Dunia 2014

Scolari kwenye majanga ya kufungwa mara kwa mara kwenye mechi zao za mwisho, Mikono kichwani hana hili wala lile!!!

Mashabiki wa Brazil wakimshukuru kocha wao Scolari kwa kuwa nao tangu 2002 lakini sasa wanataka apotee katika Klabu hiyo baada ya kuona wanaambulia vichapo mwishoni mwa Kombe la Dunia 2014 huko kwao Brazil.

0 maoni:

Post a Comment

waliotembelea blog