Tuesday, July 15, 2014


Final showing: Nike's ties with Manchester United will end after the coming seasonManchester United leo hii imetangaza kufikia makubaliano na Kampuni ya Adidas ya Miaka 10 ya Jezi na Vifaa vya Michezo ambapo watalipwa Pauni Milioni 750 na hii ndio Dili kubwa Duniani kwa Mikataba ya aina hiyo.
Mkataba wa pande hizo mbili utaanza Msimu wa Mwaka 2015/16 na kila Mwaka Man United italipwa Pauni Milioni 70 ikiipita Real Madrid ambayo ilikuwa ikizoa Pauni Milioni 31 kwa Mwaka pia kutoka kwa Adidas.

Msimu huu unaokuja, wa 2014/15, Man United itamaliza Mkataba wa kuvaa Jezi za Nike ambazo wamekuwa nazo kwa Miaka 13 hadi sasa.


ANGALIA WALIVYOWAZIDI WENZAO!

TIMU
KAMPUNI
KWA MWAKA
MIAKA
JUMLA
Manchester United
Adidas
£70m
10 years
£700m
Real Madrid
Adidas
£31m
8 years
£248m
Chelsea
Adidas
£30m
10 years
£300m
Arsenal
Puma
£30m
5 years
£170m
Barcelona
Nike
£27m
10 years
£270m
Liverpool
Warrior
£25m
6 years
£150m
Manchester City
Nike
£12m
6 years
£72m

0 maoni:

Post a Comment

waliotembelea blog