Tuesday, May 20, 2014











Hivi ndivyo mamia ya wasanii wa filamu nchini walivyojitokeza kuuaga mwili wa mwigizaji mwenzao, marehemu Adam Kuambiana, aliyefariki dunia mwishoni mwa wiki iliyopita. Mwili wa Kuambiana uliagwa kwenye viwanja vya Leaders, vilivyoko Kinondoni, Dar es Salaam. Serikali iliwakilishwa na Waziri wa Habari, Vijana, Michezo na Utamaduni, Dk. Fenella Mukangara

0 maoni:

Post a Comment

waliotembelea blog