Wednesday, May 21, 2014





























Leo imetimia miaka 18 tangu ndugu zetu walipopata ajali na Meli ya MV. Bukoba 21 May 1996, na wengi kupoteza maisha! Ni tukio kubwa lililoua watu wengi nchini na kuacha huzuni kubwa kwa Watanzania. Comment R.I.P kwao ili waendelee kupumzika kwa aman..

0 maoni:

Post a Comment

waliotembelea blog