Wednesday, May 21, 2014

article-2634352-1E0DB02200000578-824_634x421 
Diego Costa akiwa mjini Belgrade kwa lengo la kuonana na mganga wa kienyeji.
 MSHAMBULIAJI wa Atletico Madrid, Diego Costa amesafiri kwenda Belgrade nchini Serbia kumuona `Mganga wa miujiza`,  Marijana Kovacevic  ili amtibu na kurejea uwanjani haraka kwa ajili mchezo mkubwa zaidi katika maisha yake ya soka.
Mganga huyo wa Serbia anawatibu wachezaji wenye matatizo ya misuli kwa kuwawekea placenta na Costa anataka kuichezea Atletico Madrid kwenye mechi ya fainali ya UEFA dhidi ya Real Madrid jumamosi ya wiki hii.

0 maoni:

Post a Comment

waliotembelea blog