Wednesday, May 21, 2014

ded5f-kagera-sugar1 

WAKATI dirisha la usajili wa ligi kuu soka Tanzania bara likiwa njiani kufunguliwa, wakata miwa wa Kaitaba, `Wanankulukumbi` Kagera Sugar wamegoma kufanya usajili wao kwa mfumo  wa majaribio .
Kocha msaidizi wa klabu hiyo, Murage Kabange amesema tayari wameshapata wachezaji 30 na tayari wameanza mazungumzo ya awali na baadhi ya wanandinga hao.
“Siku zote sisi hatufanyi usajili kwa kuwafanyia majaribio. Unajua ukumuita mtu afanye majaribio, daima anajipanga vizuri sana”.
“Kila mchezaji anajiandaa kwasababu anajua anafanya usaili. Unaweza kumchagua na kumwingiza katika timu, halafu tatizo likaanzia hapo

0 maoni:

Post a Comment

waliotembelea blog