Sunday, March 9, 2014

Wachezaji wa Chelsea wakipongezana baada ya kufunga bao la nne na la mwisho, Bao mbili zikifungwa na Demba Ba katika dakika za mwishoni na ndani ya muda mfupi. Chelsea wameshinda bao 4-0. Ushindi huu ukiwaweka Kileleni zaidi kwa kupata pointi 66.
Eden Hazard akishangilia bao lake la mkwaju wa penati katika dsakika ya 60 kipindi cha pili baada ya Eto'o kuangushwa ndani ya 18 (ndani ya box) eneo hatari..Sense of humour: Eto'o aims his celebration at those saying he is too old for the Chelsea team
.

Kipindi cha pili dakika ya 56 Samwel Eto'o aliipatia bao safi baada ya kuwachomoka mabeki wa Spurs na kumfunga kipa wa Spurs. Dakika ya 60 mchezaji huyo huyo Eto'o ameangushwa kwa kufanyiwa rafu mbaya na Mchezaji wa Spurs Kaboul na mwamuzi wa mtanange huo Michael Oliver kumtoa kwa kadi nyekundu na mkwaju wa penati kutengwa kwenda lango la Spurs. Dakika za mwishoni dakika ya 88 na dakika ya 89 Demba Ba ameifungia timu yake Chelsea bao mbili za haraka! Bao la pili akilifunga dakika ya 89 baada ya Mchezaji wa Spurs kurudisha mpira nyuma kwa kichwa na hatimae Demba Ba kuwa kuwa karibu na kipa huyo na kumzunguka na kuupata mpira huo na kumfunga kipa wa Spurs bao hizo mbili za haraka na kwenye muda wa dakika za lala salama! Ushindi huu unawasogeza kileleni zaidi Chelsea kwa kufikisha pointi 66 wakifatiwa na Liverpool wenye alama 59.Hazard ndie aliyeutokomeza mkwaju huo ndani ya lango la Spurs na kufanya Chelsea wanaochezea kwenye uwanja wao wa Stamford Bridge kuongoza kwa bao 2-0.
Kipindi cha kwanza kilimalizika 0-0 
Samuel Eto'o akishangilia baada ya kufunga bao la kwanza kwa timu yake Chelsea.....' Meneja wa Chelsea Jose MourinhoAnimated: Chelsea boss Jose Mourinho gesticulates from the touchline during the game!Mchezaji wa Chelsea Eden Hazard akikosa bao la wazi hapa huku kipa wa Spurs  Hugo Lloris akiwa nje ya lango lake.!!..
VIKOSI:
Chelsea: Cech, Ivanovic, Cahill, Terry, Azpilicueta, Lampard (Oscar 46), Matic, Ramires, Hazard, Schurrle, Eto'o.
Subs: Mikel, Ba, Willian, Schwarzer, Kalas, Salah.
Booked: Lampard.
Goal: Eto'o 56, Hazard pen 60.
Tottenham: Lloris, Naughton, Dawson, Kaboul, Vertonghen, Sandro, Bentaleb, Walker, Sigurdsson (Paulinho 61), Lennon, Adebayor.
Subs: Soldado, Townsend, Chadli, Friedel, Fryers, Kane.
Booked: Bentaleb, Naughton, Sandro.
Sent off: Kaboul.
Referee: Michael Oliver

0 maoni:

Post a Comment

waliotembelea blog