Tuesday, December 10, 2013


Baana da Diamond kumkubari huyu jamaa Pia alifunguka 
maneno haya: ilikuwa ni juzi kwenye show yangu 
TCC chang'ombe.ambapo sikuwa na mwanangu,Nay true boy so
 ilinibidi niombe mtu mmoja kati ya mamia ya 
mashabiki waliokuwepo amwakilishe True boy kwenye
 music gani ndipo dogo akajitokeza na siku hiyo ndiyo...
  nimekubali kweli vipaji vya kweli vinatoka huku kwetu
 uswahilini, the kid is so talented saana,mbali na kuimba
 mule mule kama nay,lakin pia alijua kucheza na 
 mashabiki,kucheza na jukwaa, ni kama mzoefu wa majukwaa siku nyingi.

 

 
 
 
 
 
 







 

 
 mpaka wimbo unaisha kila mtu alikipenda
alichokishuhudia na kusuuzika na
 roho yake..i sarute you dogo
 








0 maoni:

Post a Comment

waliotembelea blog