Thursday, December 10, 2015



Willian akishangilia bao lake baada ya kuifunga Timu ya FC Porto ikiwa ni bao la pili Jose Mourinho chini akiendesha mapambano ya kuwakumbusha wachezaji wake Willian alifunga bao la pili kwa shuti kaliDiego Costa akipongezwa na Hazard Diego aliachia shuti kali ambalo lilizaa bao la kujifunga wao wenyewe FC Porto mbele ya Mlinda mlango wao Casillas.

0 maoni:

Post a Comment

waliotembelea blog