Tuesday, October 27, 2015


Ligi Kuu soka Tanzania bara inaendelea tena kwa michezo kadhaa kupigwa siku ya Jumatano ya October 28 na Alhamisi ya October 29. Ligi hiyo inaendelea kwa michezo kadhaa kupigwa katika viwanja mbalimbali ambapo uwanja wa Taifa Dar Es Salaam utapigwa mchezo ambao unatajwa kuwa na presha kwa kocha wa Simba Dylan Kerr ambaye kuna tetesi kuwa uongozi wa Simba umempa mechi mbili afanye vizuri ili kunusuru kibarua chake.

Hii ni ratiba ya mechi za October 28 na 29.


Ratiba za mechi za Ligi Kuu Tanzania bara October 28 na 29
Msimamo wa Ligi Kuu Tanzania bara October 27

0 maoni:

Post a Comment

waliotembelea blog