Tuesday, October 20, 2015



Willian akiachia shuti

Meneja wa Chelsea  Jose Mourinho kalazimishwa sare na Dynamo Kiev

Cesc Fabregas akipambana na  Yevhen Khacheridi

Diego Costa akifanya yake

Mashabiki wa Chelsea
Piga nikupige dakika 90 hakuna aliyeliona lango la mwenzake! Hapa siyo England!!! Cesc Fabregas akiteta jambo na refa Damir Skomina Nemanja Matic akiangalia mpiraEden Hazard aliachia shuti na kugonga post ya lango

0 maoni:

Post a Comment

waliotembelea blog